وانا لنعلم ان منكم مكذبين ٤٩
وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ ٤٩
وَاِنَّا
لَنَعْلَمُ
اَنَّ
مِنْكُمْ
مُّكَذِّبِیْنَ
۟
Na sisi kwa hakika tunajua kwamba miongoni mwenu kuna wanaoikanusha hii Qur’ani pamoja na kuwa dalili zake ziko wazi.