وانه لتذكرة للمتقين ٤٨
وَإِنَّهُۥ لَتَذْكِرَةٌۭ لِّلْمُتَّقِينَ ٤٨
وَاِنَّهٗ
لَتَذْكِرَةٌ
لِّلْمُتَّقِیْنَ
۟
Na hii Qur’ani ni mawaidha kwa wachamungu wanaofuata amri za Mwenyezi Mungu na kuyaepuka makatazo yake.