اني ظننت اني ملاق حسابيه ٢٠
إِنِّى ظَنَنتُ أَنِّى مُلَـٰقٍ حِسَابِيَهْ ٢٠
اِنِّیْ
ظَنَنْتُ
اَنِّیْ
مُلٰقٍ
حِسَابِیَهْ
۟ۚ
Mimi nilikuwa na yakini duniani kuwa nitapata malipo yangu Siku ya Kiyama, nikajiandalia nayo kwa matayarisho ya Imani na matendo mema.»