ق والقران المجيد ١
قٓ ۚ وَٱلْقُرْءَانِ ٱلْمَجِيدِ ١
قٓ ۚ۫
وَالْقُرْاٰنِ
الْمَجِیْدِ
۟ۚ
«Qāf» Yametangulia maelezo kuhusu herufi zilizokatwa na kutengwa mwanzoni mwa sura ya Al-Baqarah. Anaapa Mwenyezi Mungu kwa Qur’ani tukufu, yenye ubora na heshima.