وينصرك الله نصرا عزيزا ٣
وَيَنصُرَكَ ٱللَّهُ نَصْرًا عَزِيزًا ٣
وَّیَنْصُرَكَ
اللّٰهُ
نَصْرًا
عَزِیْزًا
۟
Akunusuru juu ya maadui wako na Akuongoze njia ya Dini iliyolingana sawa isiyopotoka , na Mwenyezi Mugu Akunusuru kwa nguvu kwa namna ambayo Uislamu hautakuwa mnyonge.