قال اتعبدون ما تنحتون ٩٥
قَالَ أَتَعْبُدُونَ مَا تَنْحِتُونَ ٩٥
قَالَ
اَتَعْبُدُوْنَ
مَا
تَنْحِتُوْنَ
۟ۙ
Ibrāhīm akakutana na wao akiwa imara kwa kusema, «Vipi mtaabudu masanamu mnaowachonga nyinyi wenyewe na mnaowatengeneza kwa mikono yenu,