الا عباد الله المخلصين ٧٤
إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلْمُخْلَصِينَ ٧٤
اِلَّا
عِبَادَ
اللّٰهِ
الْمُخْلَصِیْنَ
۟۠
Isipokuwa waja wa Mwenyezi Mungu Aliyowasafisha na Akawachagua kwa kuwapa rehema Yake kwa kule kumtakasa kwao Yeye.