اذالك خير نزلا ام شجرة الزقوم ٦٢
أَذَٰلِكَ خَيْرٌۭ نُّزُلًا أَمْ شَجَرَةُ ٱلزَّقُّومِ ٦٢
اَذٰلِكَ
خَیْرٌ
نُّزُلًا
اَمْ
شَجَرَةُ
الزَّقُّوْمِ
۟
Je, hayo yaliyotangulia kuelezwa ya starehe za Pepo ni makaribisho bora na vipewa vya Mwenyezi Mungu, au ni mti mbaya uliolaaniwa wa zaqqūm, ambao ni chakula cha watu wa Motoni?