ولولا نعمة ربي لكنت من المحضرين ٥٧
وَلَوْلَا نِعْمَةُ رَبِّى لَكُنتُ مِنَ ٱلْمُحْضَرِينَ ٥٧
وَلَوْلَا
نِعْمَةُ
رَبِّیْ
لَكُنْتُ
مِنَ
الْمُحْضَرِیْنَ
۟
Na lau si wema wa Mola wangu kwa kuniongoza mimi kwenye Imani na kunithibitisha juu yake, ningalikuwa ni mwenye kuhudhurishwa kwenye adhabu pamoja na wewe.