فاقبل بعضهم على بعض يتساءلون ٥٠
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍۢ يَتَسَآءَلُونَ ٥٠
فَاَقْبَلَ
بَعْضُهُمْ
عَلٰی
بَعْضٍ
یَّتَسَآءَلُوْنَ
۟
Hapo wataelekeana wakiulizana kuhusu hali zao za duniani na mambo ya usumbufu waliokuwa wakikutana nayo huko, na yale ambayo Mwenyezi Mungu Aliwaneemesha nayo Peponi. Na huku ndiko kuliwazika kuliotimia.