انهم كانوا اذا قيل لهم لا الاه الا الله يستكبرون ٣٥
إِنَّهُمْ كَانُوٓا۟ إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَآ إِلَـٰهَ إِلَّا ٱللَّهُ يَسْتَكْبِرُونَ ٣٥
اِنَّهُمْ
كَانُوْۤا
اِذَا
قِیْلَ
لَهُمْ
لَاۤ
اِلٰهَ
اِلَّا
اللّٰهُ
یَسْتَكْبِرُوْنَ
۟ۙ
Hakika wale washirikina walikuwa duniani wakiambiwa, «Hapana mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu,» na wakaitwa kwenye mwito huo na wakaamrishwa kuyaacha yanayopingana nao, wanaufanyia kiburi na kumfanyia kiburi aliyekuja nao.