انا كذالك نفعل بالمجرمين ٣٤
إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِٱلْمُجْرِمِينَ ٣٤
اِنَّا
كَذٰلِكَ
نَفْعَلُ
بِالْمُجْرِمِیْنَ
۟
Hivi ndivyo sisi tunavyowafanyia waliochagua mambo ya kumuasi Mwenyezi Mungu ulimwenguni na wakaacha kumtii, basi tutawaonjesha adhabu kali.