وقفوهم انهم مسيولون ٢٤
وَقِفُوهُمْ ۖ إِنَّهُم مَّسْـُٔولُونَ ٢٤
وَقِفُوْهُمْ
اِنَّهُمْ
مَّسْـُٔوْلُوْنَ
۟ۙ
«Na muwafunge kabla hawajafika kwenye moto wa Jahanamu, kwa kuwa wao ni wenye kuulizwa kuhusu matendo yao na maneno yao yaliyotokana na wao duniani, kwa namna ya kumshtukia kuwakaripia.»