كذبت قوم لوط المرسلين ١٦٠
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ ٱلْمُرْسَلِينَ ١٦٠
كَذَّبَتْ
قَوْمُ
لُوْطِ
لْمُرْسَلِیْنَ
۟ۚۖ
watu wa Lūṭ waliukanusha utume wake, wakawa kwa hilo ni wakanushaji wa Mitume waliosalia, kwa kuwa lile walilolileta la kumpwekesha Mwenyezi Mungu na misingi ya Sheria ni moja.