فعقروها فاصبحوا نادمين ١٥٧
فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا۟ نَـٰدِمِينَ ١٥٧
فَعَقَرُوْهَا
فَاَصْبَحُوْا
نٰدِمِیْنَ
۟ۙ
Basi wakamchinja ngamia, wakawa ni wenye kujuta kwa walilolifanya walipokuwa na uhakika kuwa watashukiwa na adhabu, na majuto yao yasiwafae kitu.