وما انا بطارد المومنين ١١٤
وَمَآ أَنَا۠ بِطَارِدِ ٱلْمُؤْمِنِينَ ١١٤
وَمَاۤ
اَنَا
بِطَارِدِ
الْمُؤْمِنِیْنَ
۟ۚ
«Na mimi si mwenye kuwafukuza wale wanaouamini ulinganizi wangu, namna itakavyokuwa hali yao, kwa kufuata matakwa yenu, ili mniamini.