الا تذكرة لمن يخشى ٣
إِلَّا تَذْكِرَةًۭ لِّمَن يَخْشَىٰ ٣
اِلَّا
تَذْكِرَةً
لِّمَنْ
یَّخْشٰی
۟ۙ
Lakini tumeiteremsha iwe ni mawaidha, ili ajikumbushe nayo mwenye kuogopa adhabu ya Mwenyezi Mungu apate kujikinga nayo kwa kutekelaza faradhi na kujiepusha na mambo ya haramu.