فلا تعجل عليهم انما نعد لهم عدا ٨٤
فَلَا تَعْجَلْ عَلَيْهِمْ ۖ إِنَّمَا نَعُدُّ لَهُمْ عَدًّۭا ٨٤
فَلَا
تَعْجَلْ
عَلَیْهِمْ ؕ
اِنَّمَا
نَعُدُّ
لَهُمْ
عَدًّا
۟ۚ
Basi usiwafanyie haraka, ewe Mtume, kwa kutaka adhabu iwashukie hawa makafiri, kwa kweli sisi tunahesabu umri wao na matendo yao hesabu isiyo na kasoro wala ukawiaji.