ورفعناه مكانا عليا ٥٧
وَرَفَعْنَـٰهُ مَكَانًا عَلِيًّا ٥٧
وَّرَفَعْنٰهُ
مَكَانًا
عَلِیًّا
۟
Na tukauinua utajo wake kwa viumbe wote na cheo chake kwa wale waliosongezwa karibu. Akawa ni mwenye utajo wa juu na, ni mwenye cheo cha juu.