قال اني عبد الله اتاني الكتاب وجعلني نبيا ٣٠
قَالَ إِنِّى عَبْدُ ٱللَّهِ ءَاتَىٰنِىَ ٱلْكِتَـٰبَ وَجَعَلَنِى نَبِيًّۭا ٣٠
قَالَ
اِنِّیْ
عَبْدُ
اللّٰهِ ؕ۫
اٰتٰىنِیَ
الْكِتٰبَ
وَجَعَلَنِیْ
نَبِیًّا
۟ۙ
Īsā akasema, na yeye yuko katika hali ya uchanga wa kuwa mlezini yuwanyonya, «Mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu, Ameamua kunipatia Kitabu, nacho ni Injili, na amenifanya Nabii.