ان ابراهيم لحليم اواه منيب ٧٥
إِنَّ إِبْرَٰهِيمَ لَحَلِيمٌ أَوَّٰهٌۭ مُّنِيبٌۭ ٧٥
اِنَّ
اِبْرٰهِیْمَ
لَحَلِیْمٌ
اَوَّاهٌ
مُّنِیْبٌ
۟
Hakika Ibrāhīm ni mwingi wa uhalimu, hapendi uharakishaji wa adhabu, ni mwingi wa kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu na kumuomba, ni mwenye kutubia, anarejea kwa Mwenyezi Mungu katika mambo yake yote.