ذالك من انباء القرى نقصه عليك منها قايم وحصيد ١٠٠
ذَٰلِكَ مِنْ أَنۢبَآءِ ٱلْقُرَىٰ نَقُصُّهُۥ عَلَيْكَ ۖ مِنْهَا قَآئِمٌۭ وَحَصِيدٌۭ ١٠٠
ذٰلِكَ
مِنْ
اَنْۢبَآءِ
الْقُرٰی
نَقُصُّهٗ
عَلَیْكَ
مِنْهَا
قَآىِٕمٌ
وَّحَصِیْدٌ
۟
Haya tuliyokutajia wewe, ewe Mtume, ni miongoni mwa habari za watu wa miji ambayo tuliwaangamiza watu wake, twakupasha habari zake. Na miongoni mwa miji hiyo kuna iliyo na athari zilizosalia; na miongoni mwazo kuna ambazo athari zake zimefutika, hakuna chochote katika hizo kilichosalia.