۞ احشروا الذين ظلموا وازواجهم وما كانوا يعبدون ٢٢
۞ ٱحْشُرُوا۟ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوا۟ وَأَزْوَٰجَهُمْ وَمَا كَانُوا۟ يَعْبُدُونَ ٢٢
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
undefined
٣
Na Malaika wataambiwa, «Wakusanyeni wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu na wafananao na wao na waungu wao waliokuwa wakiwaabudu