Al llegar [al lugar del juicio, Dios] les dirá: “Desmintieron Mis signos sin siquiera conocerlos”, [y se les preguntará:] “¿Cuáles fueron sus obras?”
Tafsires
Capas
Lecciones
Reflexiones.
Respuestas
Qiraat
Hadith
Mpaka litakapokuja, miongoni mwa kila jamii, pote la wale wanaozikanusha aya zetu na wakakusanyika, Mwenyezi Mungu Atasema, «Je, mumezikanusha aya zangu nilizoziteremsha kwa Mitume wangu na alama nilizozisimamisha zenye kuonyesha upweke wangu na ustahiki wangu peke yangu kuabudiwa na hali nyinyi hamkuwa na ujuzi wa kutosha kuwa ni batilifu, hata iwafanye mzipe mgongo na mzikanushe au ni kitu gani mlikuwa mkifanya?»