Да пропадут пропадом руки Абу Лахаба, и сам он пропал.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Imehasirika mikono miwili ya Abu Lahab, na yeye mwenyewe ameangamia, kwa kumuudhi Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie. Hasara ya Abu Lahab ilithubutu.