Allah has sealed their hearts and their hearing, and their sight is covered. They will suffer a tremendous punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu amewapiga muhuri nyoyo zao, masikizi yao na ameweka finiko juu ya macho yao ya kuonea kwa sababu ya ukafiri na ujeuri walionao, baada ya haki kuwabainikia. Mwenyezi Mungu hakuwaafikia kwenye uongofu. Wao watapata adhabu kali katika Moto wa Jahanamu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Become a Monthly Donor
Monthly donations help us improve Quran.com and sustain operations so we focus less on fundraising and more on creating impact. Learn more