But the wrongdoers changed the words they were commanded to say. So We sent down a punishment from the heavens upon them for their rebelliousness.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Wale wajeuri waliyo wapotevu, katika wana wa Isrāīl, walibadilisha neno la Mwenyezi Mungu na wakaipotoa kauli pamoja na kitendo. Kwani waliingia, na huku wakijikokota kwa matako na wakisema, “habbah fī sha’rah’ (mbegu unyweleni.)”, wakiifanyia maskhara dini ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu Aliwateremshia adhabu kutoka mbinguni kwa sababu ya kuasi kwao na kutoka kwao kwenye utiifu kwa Mwenyezi Mungu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Become a Monthly Donor
Monthly donations help us improve Quran.com and sustain operations so we focus less on fundraising and more on creating impact. Learn more