و چیزهای مردم را کم ندهید (و حق آنها را ضایع نکنید) و در زمین به فساد نکوشید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na msiwapunje watu chochote katika haki zao kwenye vipimo au mizani au vinginevyo, na msizidishe uharibifu katika ardhi kwa kufanya ushirikina, kuua, kunyang’anya, kuwatisha watu na kutekeleza vitendo vya uasi.