Non vedi che abbiamo mandato i diavoli contro i miscredenti per incitarli con forza?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Je, huoni, ewe Mtume, kwamba sisi tumewasaliti Mashetani juu ya wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume Wake, ili wawapoteze na wawaondoe kutoka kwenye utiifu kuwapeleka kwenye uasi?