ورفعناه مكانا عليا ٥٧
وَرَفَعْنَـٰهُ مَكَانًا عَلِيًّا ٥٧
undefined
undefined
undefined
undefined
3
Na tukauinua utajo wake kwa viumbe wote na cheo chake kwa wale waliosongezwa karibu. Akawa ni mwenye utajo wa juu na, ni mwenye cheo cha juu.