He replied, “So will it be! Your Lord says, ‘It is easy for Me. And so will We make him a sign for humanity and a mercy from Us.’ It is a matter ˹already˺ decreed.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Malaika akasema kumwambia, «Mambo ni hivyo kama unavyoeleza kwamba hakuna binadamu aliyekugusa na hukuwa mzinifu, lakini Mola wako Amesema, ‘Jambo hili kwangu ni pesi, na ili mtoto huyu awe ni alama kwa watu yenye kuonesha uweza wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, na awe ni rehema itakayotokana na sisi kwake yeye, kwa mamake na kwa watu.’» Na kupatikana kwa Īṣā kinamna hii lilikuwa ni jambo lililokadiriwa katika Ubao uliohifadhiwa, basi hapana budi lifanyike.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Become a Monthly Donor
Monthly donations help us improve Quran.com and sustain operations so we focus less on fundraising and more on creating impact. Learn more