الا عجوزا في الغابرين ١٧١
إِلَّا عَجُوزًۭا فِى ٱلْغَـٰبِرِينَ ١٧١
اِلَّا
عَجُوْزًا
فِی
الْغٰبِرِیْنَ
۟ۚ
3
isipokuwa mkongwe miongoni mwa watu wa nyumbani kwake, naye ni mke wake ambaye hakushirikiana na wao katika kuamini, hivyo basi akawa ni mwenye kusalia kwenye adhabu na maangamivu.