فلما اسلما وتله للجبين ١٠٣
فَلَمَّآ أَسْلَمَا وَتَلَّهُۥ لِلْجَبِينِ ١٠٣
فَلَمَّاۤ
اَسْلَمَا
وَتَلَّهٗ
لِلْجَبِیْنِ
۟ۚ
3
Walipojisalimisha wao wawili kwa kuifuata amri ya Mwenyezi Mungu na kuiandama, na Ibrāhīm akambwaga Ismā'īl chini, kwa upande wa paji la uso, ili kumchinja.