وانه لفي زبر الاولين ١٩٦
وَإِنَّهُۥ لَفِى زُبُرِ ٱلْأَوَّلِينَ ١٩٦
وَاِنَّهٗ
لَفِیْ
زُبُرِ
الْاَوَّلِیْنَ
۟
Na kwa hakika, utajo wa hii Qur’ani umethibitishwa katika Vitabu vya Manabii waliotangulia, vimeibashiri na kukubali kuwa ni ya kweli.