واذا بطشتم بطشتم جبارين ١٣٠
وَإِذَا بَطَشْتُم بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ ١٣٠
وَاِذَا
بَطَشْتُمْ
بَطَشْتُمْ
جَبَّارِیْنَ
۟ۚ
Na mnapomshika mtu kwa nguvu na mkamakinika kumuua au kumpiga, basi mnalifanya hilo kwa kutendesha nguvu hali ya kufanya maonevu.