ثم اغرقنا بعد الباقين ١٢٠
ثُمَّ أَغْرَقْنَا بَعْدُ ٱلْبَاقِينَ ١٢٠
ثُمَّ
اَغْرَقْنَا
بَعْدُ
الْبٰقِیْنَ
۟ؕ
Kisha tukawazamisha, baada ya kumuokoa Nūḥ na wale waliokuwa pamoja na yeye, wale waliosalia kati ya wale ambao hawakuamini na wakaukataa ushauri aliyowapa.